Blog Rebranding Teaser_030826
Stanbic Bank Banner_070826
Absa Loan Campaign_160426
Friday, 20 September 2024
BENKI YA NMB WAPIGA TAFU MASHINDANO YA KIMATAIFA YA DIPLOMATIC GOLF
NMB YAJITOSA KUIDHAMINI YANGA DHIDI YA CBE CAF CL 2024/25
“Kwa kutambua ukubwa wa Yanga, tukalinganisha na ukubwa wa NMB, tukaona ipo haja ya kuwasapoti katika mechi dhidi ya CBE itakayopigwa hapa wikiendi hii na leo tuko hapa kutambulishwa rasmi washirika wa Yanga kuelekea mechi ya CBE,” alisema Bi. Naima.
NMB BANK REITERATES COMMITMENT TO SUPPORT LOCAL MSMEs
Wednesday, 18 September 2024
Tuesday, 17 September 2024
NMB DONATES MEDICAL SUPPLIES TO SUPPORT HEALTH SECTOR IN MAKETE DISTRICT
He added that the bank had initially contributed roofing materials worth 8m/- during the construction phase of the dispensary.
He noted that the bank has for several years been actively involved in in supporting the education sector as well by providing desks and roofing materials as part of its commitment to support the sector’s development.
STANBIC YATOA SH. MIL. 70 KWENYE ZIARA YA BAISKELI YA VODACOM TWENDE BUTIAMA 2024
MASHINDANO YA TANZANIA LADIES OPEN GOLF TOURNAMENT 2024 YAHITIMISHWA ARUSHA
Mashindano hayo ya siku tatu yaliyofanyika kwenye viwanja vya Klabu ya Gofu ya Gymkhana jijini Arusha yalifanikiwa kuvutia washiriki kutoka vilabu vyote vya mchezo huo hapa nchini sambamba na washiriki wengine kutoka katika mataifa ya Kenya na Uganda. Mchezaji Mercy Nyanchama kutoka nchini Kenya alifanikiwa kuibuka mshindi wa jumla wa mashindano hayo.
Akizungumza kwenye hafla fupi ya kukabidhi zawadi kwa washindi mbalimbali wa mashindano hayo, Meneja Mahusiano wa Benki ya NBC, Bw. Gerald Tarimo pamoja na kuwapongeza washiriki pamoja na washindi mbalimbali wa mashindano hayo alisema benki hiyo itaendelea kuyaunga mkono ikiwemo kuyaboresha zaidi ikiwa ni sehemu ya jitihada zake katika kuchochea ushiriki wa wanawake katika michezo.
MKURUGENZI NBC ATAJA SULUHISHO UIMARISHAJI HUDUMA YA BIMA JUMUISHI NCHINI
Dodoma, 16 Septemba 2024: Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) Bw Theobald Sabi, amesisitiza umuhimu wa teknolojia, elimu kwa umma pamoja na ubia baina ya wadau muhimu wa sekta ya bima ikiwemo serikali, taasisi za fedha na kampuni za mitandao ya simu kama suluhisho muhimu katika kuimarisha na kuchochea kasi ya upatikanaji wa huduma ya bima jumuishi nchini.
Akiwasilisha mjadala wake kuhusiana na mada "Bima Jumuishi: Bidhaa Bora na Usambazaji Kupitia Teknolojia," wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Bima mwaka 2024 jijini Dodoma mwishoni mwa wiki, Sabi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Umoja wa Mabenki Tanzania (TBA) alisisitiza kuhusiana na matokeo ya ukuaji wa teknolojia yanavyoweza kuchochea mabadilliko chanya kwenye sekta hiyo.
Kilele cha maadhamisho hayo kilihusisha kongamano maalum la wadau mbalimbali wa sekta ya bima nchini, likiongozwa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima, sambamba na Kamishna wa Bima Dkt. Baghayo Saqware na Naibu wake Bi Khadija Said pamoja na Balozi wa Bima Tanzania ambaye pia ni Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Mhandisi Zena Ahmed Saidi.
BENKI YA NBC YASHIRIKI MBIO ZA RUANGWA MARATHON 2024
Dhamira ya benki hiyo ni sehemu ya mkakati wake katika kuunga mkono jitihada za serikali na wadau hao katika kukuza vipaji, kujenga afya ya jamii na kuongeza fursa za ajira hususani kwa vijana pamoja kusaidia ufanikishaji wa agenda mbalimbali za kijamii kupitia hamasa ya michezo.
Akizungumza wakati wa mbio hizo zilizofanyika katika Uwanja wa Madini wilayani Ruangwa mwishoni mwa wiki, zikiongozwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Meneja wa Kanda ya Pwani wa Benki ya NBC Bi Zubeider Haroun aliemuwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, alisema nia ya benki hiyo ni kuendelea kuwa mdau mkubwa wa sekta ya michezo nchini sambamba na kutumia vema huduma zake za kifedha katika kuwasaidia wadau wa sekta hiyo muhimu.
Subscribe to:
Posts (Atom)


.jpeg)

.jpeg)
.jpeg)

.jpeg)



.jpeg)


.jpeg)






.jpeg)





.jpeg)















