Foreign Exchange Rates

DStv Advert_090724

DStv Advert_090724

SBT Tanzania Advert_291123

Tuesday 27 August 2024

NI BALAA, KILA MTU NI MSHINDI NA VODACOM TANZANIA!!!

Mshindi wa droo ya nne ya kampeni ya Ni Balaa, Kila Mtu Ni Mshindi kutoka Vodacom Tanzania Plc, Khalid Mohamed kutoka Temeke (kulia), akipokea mfano wa hundi ya Shilingi milioni 1 kutoka kwa Caleb Majo Meneja Biashara na Masoko wa kanda ya Dar es Salaam na Pwani (kushoto) Vodacom, katika Duka la Vodacom Mlimani City mwishoni mwa wiki iliyopita. Kupitia kampeni hii wateja wa Vodacom wanajiongezea nafasi za kushinda kila wakinunua vifurushi au kufanya miamala kupitia M-pesa Super App au kwa kupiga *150*00#
Meneja Biashara na Masoko kutoka Vodacom Tanzania, Caleb Majo (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi ya Shilingi milioni 1 mshindi wa droo ya nne ya Kampeni ya Ni Balaa, Kila Mtu ni Mshindi kutoka Vodacom Bi. Zulfa Said kutoka Goba (kulia) katika Duka la Vodacom Mlimani City mwishoni mwa wiki iliyopita.

Mshindi wa kampeni ya Vodacom Tanzania Plc ‘Ni Balaa, Kila Mtu ni Mshindi' Omary Mohamed Abdallah kutoka Tuangoma, Dar es Salaam (kulia), akipokea mfano wa hundi ya TZS 500,000 kutoka kwa Caleb Majo (kushoto), Meneja Biashara na Masoko kanda ya Dar es Salaam na Pwani kutoka Vodacom, katika Duka la Vodacom lililopo Mlimani City. Endelea kufanya miamala mingi zaidi kwa kutumia M-pesa Super App au kupiga *150*00# pamoja na kununua vifurushi ili kujiongezea nafasi ya kushinda.
Mshindi wa kampeni ya Vodacom Tanzania Plc ya ‘Ni Balaa, Kila Mtu ni Mshindi’, Rajabu Mrisho Rajabu kutoka Kinondoni (kulia), akipokea mfano wa hundi ya Shilingi 500,000 kutoka kwa Caleb Majo (kushoto), Meneja Biashara na Masoko kanda ya Dar es Salaam na Pwani kutoka Vodacom, katika Duka la Vodacom lililopo Mlimani City Ijumaa wiki iliyopita.
Mshindi wa kampeni ya Ni Balaa! kutoka Vodacom Tanzania Plc Bernado Osward kutoka Kawe (kulia), akipokea mfano wa hundi ya TZS 500,000 kutoka kwa Caleb Majo (kushoto), Meneja Mauzo na mkakati wa biashara kanda ya Dar es Salaam na Pwani kutoka Vodacom Tanzania, katika Duka la Vodacom Mlimani City wiki Ijumaa wiki iliyopita.

No comments:

Post a Comment