Foreign Exchange Rates

DStv Advert_090724

DStv Advert_090724

SBT Tanzania Advert_291123

Monday 5 June 2023

VODACOM YAWAZAWADIA MAWAKALA WA USAJILI (FREELANCERS) KUPITIA KAMPENI YA 'LOYALTY PROGRAM' INAYOENDELEA NCHINI KOTE

Msimamizi wa Mauzo wa Vodacom Tanzania, Bw. Iddy Chitanda (kulia) akimkabidhi wakala wa usajili Bw. Goodluck Clement (kushoto) zawadi ya jiko la gesi na mtungi wake baada ya kujikusanyia pointi nyingi kwa kusajili wateja wapya wengi na wateja hao kununua salio na vifurushi kupitia M-Pesa. Kampuni hiyo inaendesha kampeni ya ‘Loyalty Program’ ikiwa imelenga kuboresha maslahi ya mawakala wake kupitia zawadi mbalimbali kama vile bima ya afya, pikipiki, luninga, simu za mkononi, magodoro, pesa taslimu na ikiwemo safari itakayogharamiwa kila kitu ya kwenda nchini Afrika ya Kusini mwezi Oktoba 2023.

Msimamizi wa Mauzo wa Vodacom Tanzania, Bw. Iddy Chitanda (kulia) akimkabidhi wakala wa usajili Bw. Mathias Lutumbi (kushoto) zawadi ya jiko la gesi na mtungi wake baada ya kujikusanyia pointi nyingi kwa kusajili wateja wapya wengi na wateja hao kununua salio na vifurushi kupitia M-Pesa. Kampuni hiyo inaendesha kampeni ya ‘Loyalty Program’ ikiwa imelenga kuboresha maslahi ya mawakala wake kupitia zawadi mbalimbali kama vile bima ya afya, pikipiki, luninga, simu za mkononi, magodoro, pesa taslimu na ikiwemo safari itakayogharamiwa kila kitu ya kwenda nchini Afrika ya Kusini mwezi Oktoba 2023.


Msimamizi wa Mauzo wa Vodacom Tanzania, Bw. Iddy Chitanda (katikati) akiwa katika picha ya Pamoja na mawakala wa usajili wa kampuni hiyo Bw. Mathias Lutumbi (kulia) na Bw. Goodluck Clement (kushoto) mara baada ya kuwakabidhi zawadi za majiko ya gesi na mitungi yake baada ya kujikusanyia pointi nyingi kila baada ya mteja mpya aliyemsajili akinunua salio na bando kwa M-Pesa. Kampuni hiyo inaendesha kampeni ya ‘Loyalty Program’ ikiwa imelenga kuboresha maslahi ya ‘mafrilansa’ wake kupitia zawadi mbalimbali kama vile bima ya afya, pikipiki, luninga, simu za mkononi, magodoro, pesa taslimu na ikiwemo safari itakayogharamiwa kila kitu ya kwenda nchini Afrika ya Kusini mwezi Oktoba 2023.

No comments:

Post a Comment