Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Thursday 30 March 2023

BENKI YA NMB YADHAMINI MKUTANO WA WAHARIRI MOROGORO

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye (katikati) akiteta Jambo na Kaimu Meneja Tawi la NMB Wami, Paul Nyoni baada ya kupokea Cheti cha shukrani wakati wa ufunguzi wa mkutano wa 12 wa mwaka wa kitaaluma wa wahariri wenye kauli mbiu ya "Sheria ya habari na maendeleo ya vyombo vya habari" unaofanyika mkoani Morogoro. Wa pili kushoto ni Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Deudatus Balile na Makamu Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri, Bakari Machumu (kulia kabisa). Benki ya NMB ilishiriki kama mdhamini kwenye mkutano huo unaoendelea Hoteli ya Morena, Morogoro.

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akimkabithi Kaimu Meneja Tawi la NMB, Wami Paul Nyoni (kulia) Cheti cha shukrani wakati wa ufunguzi wa mkutano wa 12 wa mwaka wa kitaaluma wa wahariri wenye kauli mbiu ya "Sheria ya habari na maendeleo ya vyombo vya habari" unaofanyika mkoani Morogoro. Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Deudatus Balile (kushoto) na Makamu Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri, Bakari Machumu (wa pili kulia). Benki ya NMB ilishiriki kama mdhamini kwenye mkutano huo unaoendelea Hoteli ya Morena, Morogoro.

No comments:

Post a Comment