AFCON QUALIFIERS IJUMAA HII - UGANDA VS TANZANIA NDANI YA DStv
Mpera mpera wa mechi za kufuzu AFCON ni Ijumaa hii.
Na Timu yetu ya Tanzania mechi yake ya Kwanza watachuana na Uganda.
Hapa piga ua, lazima Waganda wakae...
Kifurushi cha Bomba TShs 23,000/= tu kinakupa kutazama LIVE mchuano huu ndani ya @dstvtanzania pekee
Piga *150*53# kulipia kwa urahisi zaidi.
#MsimuWaSokaLaKibabe
No comments:
Post a Comment