Foreign Exchange Rates

Absa Loan Campaign_160426

Absa Loan Campaign_160426

CRDB Bank Advert_070325

Wednesday, 19 October 2022

JELA MIAKA 5 KWA WIZI WA MAUDHUI YA DStv


Mahakama ya Wilaya ya Karagwe imewahukumu watu wawili David Peter Sembosi na Sebastian John kifungo cha miaka 5 jela au kulipa faini ya shilingi milioni 20 kwa kosa la kusambaza maudhui mali ya DStv bila kibali. Kitendo hiki ni kinyume cha sheria ya Hakimiliki na makosa ya kimtandao.

No comments:

Post a Comment