Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Thursday 18 August 2022

VODACOM TANZANIA YAWAJENGEA UWEZO WA TEHAMA WANAFUNZI WA KIKE JIJINI DODOMA

Meneja Mauzo wa Vodacom Business Kanda ya Kati, Athumani Ngoma (kushoto) akimkabidhi zawadi ya cheti mwanafunzi, Catherine Sanga wa shule ya sekondari Kingwe ya Wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma wakati wa kufunga mafunzo ya wiki moja ya kuwajengea uwezo wa masomo ya Tehama kwa wanafunzi wasichana wa shule za sekondari "Code Like A Girl" kwa Mkoa wa Dodoma yaliyofanyika kwa mara ya kwanza Jijini Dodoma kwa ufadhili wa Vodacom Tanzania Plc. Kulia ni Meneja rasilimali watu na mafunzo Vodacom, Naiman Moshi.
Meneja Mauzo wa Vodacom Kanda ya Kati, Athumani Ngoma (kulia) akimkabidhi zawadi ya begi mwanafunzi, Christina Kaguge wa shule ya sekondari St. Peter Claver ya Jijini Dodoma wakati wa kufunga mafunzo ya wiki moja ya kuwajengea uwezo wa masomo ya Sayansi wanafunzi wa kike washule za sekondari kwa Mkoa wa Dodoma yaliyofanyika Jijini Dodoma kwa ufadhili wa Vodacom Tanzania Plc.





No comments:

Post a Comment