Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Tuesday 30 August 2022

VODACOM NA DLAB WAHITIMISHA MAFUNZO YA CODE LIKE A GIRL JIJINI DAR ES SALAAM

Mkurugenzi wa Dijitali na Huduma za Ziada Vodacom Tanzania Plc, Nguvu Kamando akizungumza na wanafunzi wa kike kutoka shule mbalimbali nchini waliohitimu mafunzo ya Tehama yaitwayo "code like a girl" yanayolenga kuwajengea uwezo katika Tehama na kubuni tovuti, ambayo yameandaliwa na DLab Tanzania na kufadhiliwa na Vodacom Tanzania Plc.
Mwanzilishi Mwenza wa DLab, Mahadia Tunga akizungumza na wanafunzi wa kike kutoka shule mbalimbali nchini waliohitimu mafunzo ya Tehama yaitwayo "code like a girl" yanayolenga kuwajengea uwezo katika Tehama na kubuni tovuti, ambayo yameandaliwa na DLab Tanzania na kufadhiliwa na Vodacom Tanzania Plc.




No comments:

Post a Comment