Mshindi wa gari la nne kupitia shindano la Vodacom Tusua mapene, Editha John mkazi wa mufindi-Iringa akifungua mlango wa gari lake jipya aina ya Suzuki S Presso alilojishindia katika shindano la Tusua Mapene baada ya droo iliyochezeshwa kwenye maonesho ya Nanenane jijini Mbeya na hafla ya makabidhiano kufanyika viwanja vya stendi ya zamani Iringa mjini. Kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Iringa, Mohamed Moyo aliyemwakilisha mkuu wa mkoa huo na Mkuu wa mauzo Vodacom Kanda ya Nyanda za juu kusini, Ezekiel Nungwi.Ili kujishindia zawadi katika shindano hilo tuma neno V kwenda 15544.
Kitomari Banking & Finance Blog is a premier site for banking, finance, business, economic, investment and stock market news as well as selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the World. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.
Foreign Exchange Rates
Selcom Pesa Advert_110225
Standard Chartered Advert_300125
DStv Advert_090724
Sunday, 14 August 2022
MKAZI WA MUFINDI - IRINGA AKABIDHIWA GARI MPYA SUZUKI S PRESSO BAADA YA KUIBUKA MSHINDI PROMOSHENI YA VODACOM TUSUA MAPENE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment