Foreign Exchange Rates

Selcom Pesa Advert_110225

Selcom Pesa Advert_110225

Standard Chartered Advert_300125

Standard Chartered Advert_300125

DStv Advert_090724

DStv Advert_090724

Monday, 24 January 2022

MHE. RAIS SAMIA AKUTANA NA UONGOZI WA BENKI YA NMB

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Mhe. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Uongozi wa Benki ya NMB ulioongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo - Ruth Zaipuna.

Rais Samia alifurahishwa na utendaji wa benki hiyo na kuitaka kuendelea kuisaidia Serikali katika juhudi za kukuza uchumi nchini.

No comments:

Post a Comment