Rais Samia alifurahishwa na utendaji wa benki hiyo na kuitaka kuendelea kuisaidia Serikali katika juhudi za kukuza uchumi nchini.
Kitomari Banking & Finance Blog is a premier site for banking, finance, business, economic, investment and stock market news as well as selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the World. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.
Foreign Exchange Rates
Selcom Pesa Advert_110225
Standard Chartered Advert_300125
DStv Advert_090724
Monday, 24 January 2022
MHE. RAIS SAMIA AKUTANA NA UONGOZI WA BENKI YA NMB
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Mhe. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Uongozi wa Benki ya NMB ulioongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo - Ruth Zaipuna.
Rais Samia alifurahishwa na utendaji wa benki hiyo na kuitaka kuendelea kuisaidia Serikali katika juhudi za kukuza uchumi nchini.
Rais Samia alifurahishwa na utendaji wa benki hiyo na kuitaka kuendelea kuisaidia Serikali katika juhudi za kukuza uchumi nchini.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment