| Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Mwanza, Patrick Kisaka, akiwaongoza baadhi ya warembo wanaowania taji la Miss Kanda ya Ziwa 2021 walipofika kutembelea kiwanda cha kampuni hiyo kilichopo jijini Mwanza. Mashindano hayo yamedhaminiwa na Bia ya Pisner inayozalishwa na kiwanda hicho. |
No comments:
Post a Comment