Foreign Exchange Rates

DStv Advert_090724

DStv Advert_090724

SBT Tanzania Advert_291123

Friday 9 October 2020

VODACOM TANZANIA PLC YAZINDUA DUKA LA KISASA UWANJA MPYA WA KIMATAIFA WA NDEGE JNIA TERMINAL 3

Litawezesha wasafiri na wafanyabiashara kupata huduma ya kutuma na kupokea pesa kutoka mataifa zaidi ya 200
Mkurugenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA), Paul Rwegasha (kushoto) na Mkurugenzi wa huduma kwa wateja Vodacom Tanzania PLC, Harriet Lwakatare wakikata utepe kuzindua duka jipya la kisasa lililopo kwenye uwanja mpya (Termial 3), ikiwa sehemu ya maadhimisho ya sherehe za miaka 20 ya Vodacom nchini. 

Mkurugenzi wa huduma kwa wateja Vodacom Tanzania PLC, Harriet Lwakatare akimkabidhi zawadi mteja wa Vodacom aliyetumia mtandao huo kwa miaka 20, Eliezery mbalinga mkazi wa Vingunguti Jijini Dar es Salaam
Mkurugenzi wa huduma kwa wateja Vodacom Tanzania PLC, Harriet Lwakatare akimkabidhi zawadi mteja wa Vodacom aliyetumia mtandao huo kwa miaka 20, Mohamed Juma Kambi mkazi wa Singida.

No comments:

Post a Comment