Foreign Exchange Rates

DStv Advert_090724

DStv Advert_090724

SBT Tanzania Advert_291123

Tuesday 13 October 2020

VODACOM TANZANIA FOUNDATION YAIPIGA 'TAFU' LUKIZA AUTISM FOUNDATION

  • Yachangia zaidi ya milioni 13
Rais Mstaafu wa awamu ya Nne, Mh. Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania PLC, Hisham Hendi wakati wa hafla ya kuchangia fedha kwa ajili ya watoto wenye usonji, iliyoandaliwa na Lukiza Autism Foundation jijini Dar es Salaam. Wengine kwenye picha ni Mkurugenzi wa Lukiza Foundation pamoja na wafanyakazi wa kampuni ya Vodacom.
Rais Mstaafu wa awamu ya Nne, Mh. Jakaya Mrisho Kikwete akijadiliana na Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania PLC, Margaret Ikongo na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo Hisham Hendi wakati wa hafla ya kuchangia fedha kwa ajili ya watoto wenye usonji, iliyoandaliwa na Lukiza Autism Foundation jijini Dar es Salaam.
Rais Mstaafu wa awamu ya Nne, Mh. Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC, Hisham Hendi wakati wa hafla ya kuchangia fedha kwa ajili ya watoto wenye usonji, iliyoandaliwa na Lukiza Autism Foundation jijini Dar es Salaam.
Rais Mstaafu wa awamu ya Nne, Mh. Jakaya Mrisho Kikwete akikabidhi picha iliyonunuliwa na Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania PLC, Margaret Ikongo baada ya mwenyekiti huyo kutoa dau kubwa zaidi, wakati wa hafla ya kuchangia fedha kwa ajili ya watoto wenye usonji, iliyoandaliwa na Lukiza Autism Foundation jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi wa Taasisi hiyo Hilda Nkabe.
Rais mstaafu wa awamu ya Nne, Mh. Jakaya Mrisho Kikwete, akisaidiana na wazazi na watoto wenye usonji kukata keki, wakati wa hafla ya kuchangia fedha kwa ajili ya watoto wenye usonji, iliyoandaliwa na Lukiza Autism Foundation jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Taasisi hiyo Hilda Nkabe.

No comments:

Post a Comment