| Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla (kulia) akipokea maelezo jinsi ya kucheza mchezo wa golf kutoka kwa mojawapo ya wadau wa mchezo huo na mjumbe wa klabu ya Gymkhana, Bw Ruta Chubiriwa. Waziri Kigwangalla alikuwa anazindua mashindano ya NCBA Golf tournament yaliyolenga kukuza sekta ya utalii na ukuaji wa biashara. |
No comments:
Post a Comment