Foreign Exchange Rates

DStv Advert_090724

DStv Advert_090724

SBT Tanzania Advert_291123

Tuesday 10 March 2020

MAADHIMISHO YA SIKU WANAWAKE DUNIANI VODACOM KANDA YA KASKAZINI WAENDELEA KUWA KARIBU NA WANANCHI WATEMBELEA JAMII ZA WAMASAI

Mkuu wa mauzo wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania PLC kanda ya kaskazini, Brigita Stephen (kushoto) akimkabidhi zawadi ya simu mkazi wa Longido, Sketa Mollel wakati wafanyakazi wa Vodacom Kanda ya Kaskazini walipotembelea kijiji hicho kwenye shamrashamra ya wiki ya wanawake Duniani na kutoa zawadi mbalimbali kwa wakazi wa Longido.
Wafanyakazi wa Vodacom kanda ya Kaskazini wakikabidhi zawadi mbalimbali kwa wakazi wa Longido.
Meneja wa VBU, Scola Lyakurwa (kushoto) akikabidhi zawadi.
Wafanyakazi wa Vodacom wakiwa kwenye picha ya pamoja.


Wafanyakazi wa Vodacom (kulia) na Wanakijiji wakifurahi pamoja mara baada ya kukabidhiana zawadi mbalimbali.

No comments:

Post a Comment