![]() |
| Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Standard Chartered (Tanzania) Bw. Sanjay Rughani akitoa taarifa kwa ufupi kuhusu makubaliano ya mkopo nafuu wa dola za Marekani bilioni 1.46, sawa na shilingi za Tanzania Tril. 3.3, zilizotolewa na Benki hiyo kwa ajili ya ujenzi wa Reli kwa Kiwango cha Kimataifa (SGR), kipande cha Morogogoro hadi Makutupora, mkoani Singida. Continue Reading >>> |





No comments:
Post a Comment