Foreign Exchange Rates

Equity Bank Advert_12 February 2026

CRDB Bank Advert_070325

Global Sanctions Compliance Masterclass

Friday, 17 January 2020

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA, AREJEA NCHINI TOKEA MSUMBIJI ALIKOMWAKILISHA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI, KWENYE UAPISHO WA RAIS WA MSUMBIJI, FILIPE NYUSI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, jana Januari 16, 2020 amerejea nchini kutoka Msumbiji, ambako alimwakilisha Rais John Pombe Magufuli, kwenye uapisho wa Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi. Kushoto ni Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa, ambaye pia alikuwepo katika msafara huo.

No comments:

Post a Comment