Foreign Exchange Rates

CRDB Bank Advert_070325

Selcom Pesa Advert_110225

Selcom Pesa Advert_110225

Standard Chartered Advert_300125

Standard Chartered Advert_300125

DStv Advert_090724

DStv Advert_090724

Wednesday, 24 July 2019

BENKI YA NMB YAHUDHURIA MKUTANO WA ALAT MWANZA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akipata maelezo ya huduma za kibenki kutoka kwa Afisa Mkuu wa Wateja Wadogo na wa Kati, Filbert Mponzi alipotembelea kwenye banda la Benki ya NMB kwenye Mkutano wa ALAT unaoendelea jijini Mwanza. Wengine ni Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Serikali cha NMB, Vicky Bishubo (kushoto).
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akimweleza Afisa Mkuu wa Wateja Wadogo na wa Kati wa NMB, Filbert Mponzi jinsi Serikali inavyothamini Benki ya NMB kama Benki ya Serikali alipotembelea banda la Benki ya NMB kwenye Mkutano wa ALAT unaoendelea jijini Mwanza. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Serikali cha NMB, Vicky Bishubo na Meneja wa NMB Kanda ya Ziwa, Abraham Augustino.

No comments:

Post a Comment