| Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Bw. Mrisho Gambo (wa pili kushoto), akimkabidhi mtoto Bless John, mmoja kati ya watoto 200 wanaoishi katika mazingira magumu walionufaika na bima ya afya kwaajili ya kupata matibabu kutoka benki ya Stanbic Tanzania jijini Arusha hivi karibuni. Kulia ni Mkuu wa Standard Bank kanda ya Afrika, Tshepo Dlamini Ramoshaba na Afisa Ustawi wa Jamii, Asia Jingu (kushoto). |
No comments:
Post a Comment