Foreign Exchange Rates

DStv Advert_010224

DStv Advert_010224

SBT Tanzania Advert_291123

Friday 14 December 2018

BENKI YA CBA NA VODACOM WATANGAZA MSHINDI MKUU WA KAMPENI YA MPAWA NA WASHINDI WENGINE WATANO WALIOJISHINDIA BAJAJI KILA MMOJA

Mkurugenzi Idara Usajili wa hazina wa Benki ya Biashara Afrika CBA Hakim Sheikh (katikati) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kuchezesha droo ya mwisho ya Promosheni iliyokuwa inakwenda kwa jina la Shinda na M-PAWA. kushoto ni Meneja Masoko wa Vodacom, Noel Mazoya pamoja na Sophet Mafuru hafla hiyo imefanyika leo kwenye ofisi za benki hiyo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Idara Usajili wa hazina wa Benki ya Biashara Afrika CBA Hakim Sheikh (kulia) akipiga simu kwa mmoja wa washindi wakati wa droo ya mwisho ya Promosheni iliyokuwa inakwenda kwa jina la Shinda na M-PAWA. (Katikati) ni Meneja Masoko wa Vodacom, Noel Mazoya, pamoja na Mkaguzi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Abdallah Hemedy.
Meneja Masoko wa Vodacom, Noel Mazoya (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kuchezesha droo ya mwisho ya Promosheni iliyopewa jina la Shinda na M-PAWA. (wapilikushoto) ni Mkurugenzi Idara Wateja binafsi na Masoko wa Benki ya Biashara Afrika CBA Julius Konyani ambae amemuwakilisha Mkurugenzi Mkuu wa Benki hiyo, Wengine ni Mwakilishi kutoka Bodi ya Michezo ya kubahatisha Jehud Ngolo pamoja na Sophet Mafuru. hafla hiyo imefanyika leo kwenye ofisi za benki hiyo jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment