![]() |
| Meneja wa Miradi ya Ubia, Subira Gudadi akimkaribisha Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tulia Ackson wakati akiwasili katia eneo la mradi. |
![]() |
| Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu akijadiliana jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya NHC, Mama Blandina Nyoni. |
![]() |
| Rais Magufuli akiwapungia mkono wananchi wakati alipowasili katika eneo la ufunguzi wa nyumba za makazi Iyumbu. |
![]() |
| Rais Magufuli akisalimiana na Mshereheshaji wa shughuli hiyo Ephraim Kibonde. |

![]() |
| Rais Magufuli akifuatilia baadhi ya mambo. |
![]() |
| Baadhi ya wafanyakazi wa NHC wakifuatilia tukio hilo. |
![]() |
| Wananchi wakifuatilia tukio hilo la ufunguzi. |
![]() |
| Mkuu wa mkoa Benillith Mahenge akihutubia. |
![]() |
| Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu, akihutubia. |
![]() |
| Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akihutubia. |
![]() |
| Rais Magufuli akihutubia katika ufunguzi huo. |
![]() |
| Picha ya pamoja. |















No comments:
Post a Comment