![]() |
Meneja wa Miradi ya Ubia, Subira Gudadi akimkaribisha Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tulia Ackson wakati akiwasili katia eneo la mradi. |
![]() |
Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu akijadiliana jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya NHC, Mama Blandina Nyoni. |
![]() |
Rais Magufuli akiwapungia mkono wananchi wakati alipowasili katika eneo la ufunguzi wa nyumba za makazi Iyumbu. |
![]() |
Rais Magufuli akisalimiana na Mshereheshaji wa shughuli hiyo Ephraim Kibonde. |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjKghKHHjddKIc_kyt0wLaZIMaeKIGFPhMIIsCbQ1KcMN0p2ekbHpOjP7fcUgz7bHBHEdohf_nb7GG12nDwZKBjQ_4yXqVxyMHISwCclejON2rFstLAZqA2hW7Jo5th2QXaWSX-Aa0xtI8/s640/7.jpg)
![]() |
Rais Magufuli akifuatilia baadhi ya mambo. |
![]() |
Baadhi ya wafanyakazi wa NHC wakifuatilia tukio hilo. |
![]() |
Wananchi wakifuatilia tukio hilo la ufunguzi. |
![]() |
Mkuu wa mkoa Benillith Mahenge akihutubia. |
![]() |
Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu, akihutubia. |
![]() |
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akihutubia. |
![]() |
Rais Magufuli akihutubia katika ufunguzi huo. |
![]() |
Picha ya pamoja. |
No comments:
Post a Comment