Foreign Exchange Rates

DStv Advert_090724

DStv Advert_090724

SBT Tanzania Advert_291123

Monday 1 June 2015

TANGA CEMENT YAKABIDHI MSAADA WA MIFUKO 300 YA SARUJI KUSAIDIA UJENZI WA ZAHANATI YA KIJIJI CHA KISIMATUI

Meneja Biashara wa Kampuni ya Saruji Tanga, Matthews Roos (wa pili kushoto), akikabidhi sehemu ya msaada wa mifuko 300 ya saruji kwa Diwani wa Kata ya Pongwe, Uzia Juma, iliyotolewa na kampuni hiyo kusaidia ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Kisimatui kilichopo katika kata hiyo. Mifuko hiyo ina thamani ya shs milinioni 3.5. Hafla ya makabidhiano ilifanyika kiwandani hapo, Pongwe, Tanga wiki iliyopita. Wengine kutoka kushoto ni, Meneja Mawasiliano na Mahusiano ya Nje wa kampuni hiyo, Mtanga Noor, Meneja Kiwanda Mhandisi. Ben Leman na maofisa wengine wa kampuni hiyo.
Meneja Rasilimali Watu wa Kampuni ya Saruji Tanga, Diana Malambugi (wa pili kushoto), akikabidhi sehemu ya msaada wa mifuko 300 ya saruji kwa Diwani wa Kata ya Pongwe, Uzia Juma, iliyotolewa na kampuni hiyo kusaidia ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Kisimatui kilichopo katika kata hiyo. Mifuko hiyo ina thamani ya shs milinioni 3.5. Hafla ya makabidhiano ilifanyika kiwandani hapo, Pongwe, Tanga wiki iliyopita. Wengine kutoka kushoto ni, Meneja Kiwanda Mhandisi, Ben Lema, Meneja Biashara, Matthews Roos, Ofisa Mtendaji Kata ya Pongwe, Salimu Mdoe na Meneja Mauzo wa kampuni hiyo, Samuel Shoo.
Meneja Usalama na Mazingingira wa Kampuni ya Saruji Tanga, Leon Breedt (wa tatu kushoto), akikabidhi sehemu ya msaada wa mifuko 300 ya saruji kwa Diwani wa Kata ya Pongwe, Uzia Juma, iliyotolewa na kampuni hiyo kusaidia ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Kisimatui kilichopo katika kata hiyo. Mifuko hiyo ina thamani ya shs milinioni 3.5. Hafla ya makabidhiano ilifanyika kiwandani hapo, Pongwe, Tanga. Wengine kutoka kushoto ni, Meneja Kiwanda, Mhandisi. Ben Lema, Meneja Biashara, Matthews Roos, Ofisa Mtendaji Kata ya pongwe, Salimu Mdoe, na Meneja Mauzo wa kampuni hiyo, Samuel Shoo.
Meneja Kiwanda wa Kampuni ya Saruji Tanga, Mhandisi Ben Lema (wa pili kushoto), akikabidhi sehemu ya msaada wa mifuko 300 ya saruji kwa Diwani wa Kata ya Pongwe, Uzia Juma, iliyotolewa na kampuni hiyo kusaidia ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Kisimatui kilichopo katika kata hiyo. Mifuko hiyo ina thamani ya shs milinioni 3.5. Hafla ya makabidhiano ilifanyika kiwandani hapo, Pongwe, Tanga. Wengine kutoka kushoto ni, Meneja Biashara, Matthews Roos, Meneja Mauzo wa kampuni hiyo, Samuel Shoo na Ofisa Mtendaji Kata ya pongwe, Salimu Mdoe.

No comments:

Post a Comment