Foreign Exchange Rates

CRDB Bank Advert_070325

Selcom Pesa Advert_110225

Selcom Pesa Advert_110225

Standard Chartered Advert_300125

Standard Chartered Advert_300125

Monday, 22 June 2015

BENKI YA NMB YAIKABIDHI WIZARA YA FEDHA SH. BILIONI 16.5.

Mkurugenzi Mkuu wa NMB, Ineke Bussemaker akikabidhi mfano wa hundi ya shilingi bilioni 16.5 kwa Waziri wa Fedha, Saada Mkuya katika hafla iliyofanyika wiki iliyopita mjini Dodoma. NMB ilikabidhi fedha hizo kwa serikali ikiwa ni gawio la sehemu ya faida iliyopatikana kwa mwaka 2014 ya shilingi bilioni 155.6 huku bodi ya wakurugenzi ikipitisha gawio la wanahisa la shilingi bilioni 52. Kutoka kushoto ni Katibu Mkuu wa wizara ya Fedha, Dr. Servacius Likwelile.
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya NMB, Ineke Bussemaker akikabidhi mfano wa hundi ya shilingi bilioni 16.5 kwa Waziri wa Fedha, Saada Mkuya katika hafla iliyofanyika wiki iliyopita mjini Dodoma. NMB ilikabidhi fedha hizo kwa serikali ikiwa ni gawio la sehemu ya faida iliyopatikana kwa mwaka 2014 ya shilingi bilioni 155.6 huku bodi ya wakurugenzi ikipitisha gawio la wanahisa la shilingi bilioni 52. Kutoka kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dr. Servacius Likwelile na kulia ni Afisa Mkuu wa Fedha wa NMB, Waziri Barnabas.

No comments:

Post a Comment