Foreign Exchange Rates

CRDB Bank Advert_070325

Selcom Pesa Advert_110225

Selcom Pesa Advert_110225

Standard Chartered Advert_300125

Standard Chartered Advert_300125

Friday, 22 May 2015

MENEJA MKUU WA TIGO, DIEGO GUTIERREZ AKUTANA NA WAHARIRI WA KANDA YA ZIWA

Meneja Mkuu wa kampuni ya Tigo, Diego Gutierrez akifafanua jambo alipozungumza na wahariri wa Kanda ya Ziwa juzi kuhusiana na jinsi ambavyo Tigo imejipanga kuwekeza katika kanda ya ziwa mwaka huu.
Meneja Mkuu wa kampuni ya Tigo, Diego Gutierrez akifafanua jambo alipoongea na wahariri wa Kanda ya Ziwa juzi kuhusu jinsi ambavyo Tigo imejipanga kujenga minara mipya 63 katika Knda ya Kiwa mwaka huu. Wengine pichani (wa kwanza kulia) ni Meneja wa Uwajibikaji kwa Jamii wa Tigo Bi. Woinde Shisael, Meneja wa Tigo Kanda ya Ziwa Ally Maswanya na Meneja wa Tigo Mwanza Joseph Mutalemwa.
Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya Tigo, John Wanyancha akifafanua jambo kwa wahariri wa vyombo vya habari vya Kanda ya Ziwa, wakati wa mkutano wao na Meneja Mkuu wa kampuni ya Tigo, Diego Gutierrez uliofanyika jijini Mwanza.
Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya Tigo, John Wanyancha akifafanua jambo kwa wahariri wa vyombo vya habari vya Kanda ya Ziwa, wakati wa mkutano wao na Meneja Mkuu wa kampuni ya Tigo, Diego Gutierrez uliofanyika jijini Mwanza.

No comments:

Post a Comment