Foreign Exchange Rates

Equity Bank Advert_12 February 2026

CRDB Bank Advert_070325

Global Sanctions Compliance Masterclass

Tuesday, 28 April 2015

BALOZI KAMALA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA BIASHARA UBELIGIJI

Balozi wa Tanzania Ubeligiji, Laxembourg na Jumuiya ya Ulaya, Dr. Diodorus Buberwa Kamala (wa kwanza kushoto), akiwa katika picha ya pamoja na viongozi kutoka nchi mbalimbali duniani baada ya ufunguzi rasmi wa Kongamano la Biashara la Kimataifa linalofanyika Genval, Ubeligiji.

Makampuni zaidi ya 500 yakiwemo 50 kutoka Tanzania yanashiriki Kongamano hilo.

Makampuni hapo yanatoka nchi zinazozungumza kifaransa. Tanzania ni nchi pekee inayozungumza kingereza iliyokaribishwa kushiriki. Kesho, Balozi Kamala atawasilisha mada ya kubainisha fursa za uwekezaji na biashara zinazopatikana Tanzania. 



No comments:

Post a Comment