Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Tuesday 28 April 2015

BALOZI KAMALA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA BIASHARA UBELIGIJI

Balozi wa Tanzania Ubeligiji, Laxembourg na Jumuiya ya Ulaya, Dr. Diodorus Buberwa Kamala (wa kwanza kushoto), akiwa katika picha ya pamoja na viongozi kutoka nchi mbalimbali duniani baada ya ufunguzi rasmi wa Kongamano la Biashara la Kimataifa linalofanyika Genval, Ubeligiji.

Makampuni zaidi ya 500 yakiwemo 50 kutoka Tanzania yanashiriki Kongamano hilo.

Makampuni hapo yanatoka nchi zinazozungumza kifaransa. Tanzania ni nchi pekee inayozungumza kingereza iliyokaribishwa kushiriki. Kesho, Balozi Kamala atawasilisha mada ya kubainisha fursa za uwekezaji na biashara zinazopatikana Tanzania. 



No comments:

Post a Comment