Foreign Exchange Rates

DStv Advert_090724

DStv Advert_090724

SBT Tanzania Advert_291123

Thursday 5 March 2015

MH. EDWARD LOWASSA AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UINGEREZA NCHINI

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya nchi za Nje, Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Mh. Dianna Melrose aliyefika ofisini kwake leo kwa mazungumzo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya nchi za Nje, Mh. Edward Lowassa akizungumza na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Mh. Dianna Melrose ofisini kwake, jijini Dar es salaam leo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya nchi za Nje, Mh. Edward Lowassa akiagana na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Mh. Dianna Melrose mara baada ya kumaliza mazungumzo yao.

No comments:

Post a Comment