| Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri wa Kazi na Ajira Mh. Gaudensia Kabaka (watano kushoto), Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Dkt. Ramadhani Dau (wapili kulia), Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama (wapili kushoto) pamoja na viongozi na wadau wengine wakikata utepe kufungua rasmi jengo la kitega uchumi la NSSF Kilimanjaro Commercial Complex mjini Moshi, Mkoani Kilimanjaro jana. |
No comments:
Post a Comment