Foreign Exchange Rates

DStv Advert_090724

DStv Advert_090724

SBT Tanzania Advert_291123

Friday 14 November 2014

WAFANYAKAZI WA BENKI YA AZANIA TAWI LA MOSHI WAHAMASISHA WATEJA KUFUNGUA AKAUNTI YA DHAMIRA

Meneja Msaidizi wa Benki ya Azania Joseph Msase (kushoto) akikabidhi fomu ya Akaunti ya Dhamira kwa mmoja wa wateja wa Benki hiyo, Benjamini Mengi (kulia).

Mteja wa Benki ya Azania Benjamini Mengi akionesha fomu yake baada ya kujiunga na Akaunti ya Dhamira, wengine ni wafanyakazi wa Benki ya Azania tawi la Moshi, Hajira Mmambe (mwenye kilemba) na familia ya Mengi.

Mtoa huduma kwa wateja katika Benki ya Azania tawi la Moshi, Happy Msengi akimshawishi Mama Mengi kufungua akaunti ya Dhamira iliyoanzishwa katika Benki hiyo.

Meneja Msaidizi Benki ya Azania, Joseph Msese (katikati) akiwa na mtoa huduma kwa wateja Happy Msese wakijaribu kumshawishi kijana Benson Benjamini kufungua akaunti ya Dhamira.

Meneja wa Azania Bank tawi la Moshi, Hajira Mmambe (kushoto) akiendelea kushawishi wateja wapya kujiunga na Akaunti ya Dhamira iliyoanzishwa katika benki hiyo.
Mtoa huduma kwa wateja katika benki ya Azania, Mary Machange akiandika maelezo ya mteja wa Benki, Dowald Mushi alipokuwa akifungua Akaunti ya Dhamira katika tawi la Benki hiyo la Moshi. (Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii kanda ya kaskazini).

No comments:

Post a Comment