| Katibu wa Baraza la Ulamaa Taifa, Sheikh Hassan Chizenga akipokea zawadi kutoka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Stanbic, Manzi Rwegasira katika Iftar iliyoandaliwa na Benki hiyo jana katika Hoteli ya Serena. Kushoto ni Fredrick Max, Ofisa Mkuu Idara ya biashara Benki ya Stanbic na kulia ni Omari Mtiga, Mkurugenzi wa wateja binafsi Benki ya Stanbic. |
No comments:
Post a Comment