Kitomari Banking & Finance Blog is a premier site for banking, finance, business, economic, investment and stock market news as well as selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the World. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.
Foreign Exchange Rates
Selcom Pesa Advert_110225
Standard Chartered Advert_300125
DStv Advert_090724
Monday, 24 February 2025
BENKI YA STANBIC YAPEWA CHETI KUTOKA CHAMA CHA WAAJIRI TANZANIA (ATE)
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wanawake kuvunja vikwazo ili kushiriki katika uchaguzi na kuthibitisha uwezo wao wa uongozi. Aliwahimiza wanawake kusaidiana na kuchukua majukumu ya dhati katika kufanya maamuzi. Ujumbe wake ulikuwa wazi kwamba wanawake lazima wainuke, wachague dhana potofu, na kuunda mustakabali wa Tanzania kupitia uamuzi na vitendo. Aliyazungumza hayo kwenye mahafali ya kumi (10) ya programu inayoendeshwa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) iliyofanyika jijini Dar es salaam.
Kwa upande wake , Violet Mordichai, Mjumbe wa Bodi ya Benki ya Stanbic Tanzania, aliangazia mipango ya kuwawezesha wanawake katika biashara na kuwataka wasimamie kazi zao. Pia alisisitiza kuwa uongozi si kusubiri fursa bali ni kuzitengeneza. Alizungumza hayo wakati anaongea na waandishi wa habari katika hafla hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment