Ikiwa Juni 14 ya kila mwaka huadhimishwa siku ya wachangia damu duniani, wafanyakazi wa Hoteli ya Johari Rotana ya jijini Dar es Salaam wamechangia damu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili ili kuhakikisha wanaokoa maisha ya watu.
No comments:
Post a Comment