| Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akimkaribisha Mshauri wa Uchumi na Fedha kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) – Idara ya Afrika, Bw. Charambos Tsangarides, anayeongoza Timu ya Wataalam kutoka Shirika hilo kwa ajili ya kufanya tathimini ya hali ya uchumi na kisera, ikiwa ni hatua ya utekelezaji wa mpango wa Shirika hilo wa kuipatia Tanzania mikopo na Misaada zaidi ya kutekeleza miradi ya maendeleo, Ofisini kwake Jijini Dodoma. |
No comments:
Post a Comment