Msimamizi wa maduka ya Vodacom kanda ya kati, Suzan Mwaipopo (katikati) akiwapa zawadi watoto mapacha waliozaliwa usiku wa kuamkia maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani yaliofanyika hivi karibuni. Kushoto ni mzazi wa mapacha hao, Neema Brayson na kulia mfanyakazi wa Vodacom, Halima Bandawe.
|
No comments:
Post a Comment