Foreign Exchange Rates

DStv Advert_090724

DStv Advert_090724

SBT Tanzania Advert_291123

Tuesday 15 March 2022

MKAZI WA GEITA AJISHINDIA GARI MPYA KUTOKA VODACOM

Mkuu wa Mkoa wa Geita, Bi. Rosemary Sinyamule (wa pili kushoto) akimpongeza mshindi wa promosheni ya Vodacom Tusua Mapene, Justine Kinyamonga (anayeonesha funguo za gari) mkazi wa Shilabela Mjini Geita, mara baada ya kukabidhiwa gari aina ya Suzuki S Presso aliyojishindia kupitia promosheni hiyo. Wengine kushoto ni Meneja Mauzo Mwandamizi (Alimwakilisha Mkuu wa Kanda ya ziwa, Ayubu Kalufya), Ahmed Akbarali na familia ya Kinyamonga. Hafla hiyo ilifanyika kwenye viwanja vya Shilabela, Geita.

 


Mkuu wa Mkoa wa Geita, Rosemary Sinyamule (wanne kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na washindi wa promosheni ya Shangwe Lipo pale pale waliojishindia Smart TV kutoka mkoa huo, Wa pili kushoto ni Meneja Mauzo Mwandamizi (Alimwakilisha Mkuu wa Kanda ya Ziwa, Ayubu Kalufya ), Ahmed Akbarali. Hafla hiyo ilifanyika kwenye viwanja vya Shilabela, Geita.

No comments:

Post a Comment