Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Wednesday 5 May 2021

BENKI YA NMB YAENDESHA DROO YA 'BONGE LA MPANGO'

Meneja Mwandamizi wa Bima Benki ya NMB, Catherine Joshua akibofya kitufe kumpigia mmoja wa washindi kwenye shindano la 'Bonge la Mpango' droo ya saba iliyofanyika leo Tawi la NMB Mbezi Louis jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Ofisa Mkaguzi toka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania (GBT), Elibariki Sengasenga na Afisa Huduma kwa wateja Benki ya NMB, Neema Kazaviyo (kulia) wakishuhudia.

Meneja Mwandamizi wa Bima Benki ya NMB, Catherine Joshua akizungumza kwenye shindano la 'Bonge la Mpango' droo ya saba iliyofanyika leo Tawi la NMB Mbezi Louis jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Ofisa Mkaguzi toka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania (GBT), Elibariki Sengasenga na Afisa Huduma kwa wateja Benki ya NMB, Neema Kazaviyo (kulia) wakishuhudia.

Meneja wa Benki ya NMB Tawi la Mbezi Louis, Nestory Mwombeki (kushoto) akizungumza kwenye shindano la 'Bonge la Mpango' droo ya saba iliyofanyika leo tawini hapo. Wa pili kushoto ni Ofisa Mkaguzi toka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania (GBT), Elibariki Sengasenga, Meneja Mwandamizi wa Bima Benki ya NMB, Catherine Joshua na Afisa Huduma kwa wateja Benki ya NMB, Neema Kazaviyo wakiwa kwenye hafla hiyo.

No comments:

Post a Comment