Foreign Exchange Rates

DStv Advert_090724

DStv Advert_090724

SBT Tanzania Advert_291123

Tuesday 24 November 2020

RAIS WA ZANZIBAR MHE. DK. HUSSEIN ALI MWINYI AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU MTENDAJI WA BENKI YA STANDARD CHARTERED IKULU, ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Benki ya Standard Chartered Bw. Sanjay Rughani alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazunguzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Masoko Bi. Juanita Mramba.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Benki ya Standard Chartered Bw. Sanjay Rughani alipofika Ikulu Jijini Zanzibar na Ujumbe wake kuonana na kufanya mazungumzo. Wa pili kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Masoko Bi. Juanita Mramba na Mkuu wa Kitengo cha huduma kwa Serikali na Taasisi za Fedha Fedha Bi. Sapientia Balele.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi akiagana na mgeni wake Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Benki ya Standard Chartered Bw. Sanjay Rughani, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar mwishoni wa wiki.

No comments:

Post a Comment