| Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. John Mongella akikata utepe kuzindua rasmi tawi la Benki ya NCBA lililopo mtaa Kenyatta jijini Mwanza leo. Jumla ya matawi mawili yalizinduliwa jijini humo. Wengine kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya NCBA Tanzania, Margaret Karume, Katibu Tawala wa Mkoa huo, Mhe. Emmanuel Tutuba (kulia) na nyuma ni Mkurugenzi wa jijini la Mwanza, Mhe. Wakili Kiomoni Kibamba. |
No comments:
Post a Comment