Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Thursday 16 July 2020

ASKARI MAGEREZA AJISHINDIA KITITA CHA SHILINGI 128 MILIONI KWENYE BAHATI NASIBU YA TUSUA MAPENE NA VODACOM

Mkuu wa gereza la Musoma, Mrakibu Mwandamizi wa Magereza Aliko Mwakalobo (wa pili kulia) akishuhudia mshindi wa Bahati nasibu ya Tusua Mapene Sajenti Celestine Kalemezi (katikati) akipongezwa na Meneja mauzo wa Vodacom Tanzania PLC – Musoma, Jovinth Ikate, baada ya afande Kalemezi kuibuka mshindi wa shilingi 128 milioni. Ili kushiriki kwenye promosheni hii, mteja anatakiwa kutuma neno “CHECK” au “VODA” kwenda namba 15544, kwa gharama ya shilingi 300 tu.
Afisa Huduma wa Shindano la Tusua Mapene na Vodacom, Paulina Biseko (kulia) na Meneja Uhusiano na Mawasiliano Vodacom Tanzania PLC, Alex Bitekeye (katikati) wakimsikiliza Balozi wa Tusua Mapene, Golden Mangula wakati akiongea na mshindi wa shindano hilo, Celestina Kilenezi, askari Magereza wa Gereza la Musoma ambaye amejishindia zaidi ya shilingi milioni 128/- za shindano hilo. Ili kushiriki shindano hili tuma neno Voda kwenda 15544.
Afisa Huduma wa Shindano la Tusua Mapene na Vodacom Tanzania, Paulina Biseko (kulia), Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania PLC, Alex Bitekeye (wa pili kulia) wakiwa kwenye picha ya pamoja na mabalozi wa shindano la Tusua Mapene na Vodacom Tanzania, Judith Laizer (kushoto) na Golden Mangula mara baada ya kumtangaza mshindi wa shindano hilo, Celestina Kilenezi, askari Magereza wa Gereza la Musoma ambaye amejishindia zaidi ya shilingi milioni 128/- za shindano hilo. Ili kushiriki shindano hili tuma neno Voda kwenda 15544. 

No comments:

Post a Comment