Foreign Exchange Rates

DStv Advert_090724

DStv Advert_090724

SBT Tanzania Advert_291123

Wednesday 12 February 2020

UONGOZI WA BENKI YA CRDB WAKUTANA NA BALOZI WA DENMARK NCHINI TANZANIA

Balozi wa Denmark nchini, Mette Norgaard Dissing Spandet (kushoto) akizungumza na uongozi wa Benki ya CRDB, ulioongozwa na Mwenyekiti wa Bodi, Dkt. Ally Laay (wa pili kulia), Mkurugenzi Mtendaji, Abdulmajid Nsekela (wa tatu kulia), Mkurugeni wa Hazina na Mitaji ya Masoko, Alex Ngusaru (katikati) pamoja na Mkurugenzi wa Mawasiliano, Tully Esther Mwambapa (kulia), uliofika ofisini kwake kuzungumzia maswala mbalimbali yanayohusu Benki hiyo, ambapo Serikali ya Denmark kupitia Shirika lake la uwekezaji la DANIDA ni wanahisa wa Benki ya CRDB.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (wa pili kushoto) akimkabidhi kablasha, Balozi wa Denmark nchini, Mette Norgaard Dissing Spandet wakati wa kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa Mkikutano wa Ubalozi wa Denmark, jijini Dar es salaam, hivi karibuni. 

No comments:

Post a Comment