Foreign Exchange Rates

DStv Advert_090724

DStv Advert_090724

SBT Tanzania Advert_291123

Monday 3 February 2020

SERENGETI BREWERIES LIMITED NA UBALOZI WA UINGEREZA WAANDAA MAADHIMISHO YA MIAKA 200 YA JOHNNIE WALKER WHISKY

Balozi wa Uingereza hapa nchini Sarah Cook, akizungumza katika hafla maalumu ya kuonja pombe kali aina ya Whisky iliyoratibiwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti Breweries Limited (SBL) ikilenga kuwapa nafasi wateja na wadau wengine nafasi ya kuzifahamu na kuzionja pombe kali zinazosambazwa na kampuni hiyo ikiwamo Johnnie Walker inayotimiza miaka 200 tangu kuanzishwa kwake. Hafla ilifanyika kwenye makazi ya Balozi huyo jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia Serengeti (SBL), Mark Ocitti, akizungumza katika hafla maalum ya 'Whisky Tasting' iliyoratibiwa na Serengeti Breweries Limited (SBL) ikilenga kuwapa nasasi wateja na wadau wengine kuonja ladha ya vinywaji vikali vinavyosambazwa na kampuni hiyo ikiwemo Johnnie Walker inayotimiza miaka 200 tangu kuanzishwa kwake. Hafla ilifanyika kwenye makazi ya Balozi wa Uingereza jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia Serengeti (SBL), Mark Ocitti (kushoto), na Balozi wa Uingereza, Sarah Cook, wakionja Whisky aina ya Johnnie Walker Blue Label katika hafla maalum ya ‘Whisky Tasting’ iliyoratibiwa na Serengeti Breweries Limited (SBL) ikilenga kuwapa nasasi wateja na wadau wengine kuonja ladha ya vinywaji vikali vinavyosambazwa na kampuni hiyo ikiwamo Johnnie Walker inayotimiza miaka 200 tangu kuanzishwa kwake.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia Serengeti (SBL), Mark Ocitti (kushoto), akichukua whisky aina ya Johnnie Walker Blue Label katika hafla maalum ya ‘Whisky Tasting’ iliyofanyika katika makazi ya balozi huyo jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Balozi wa Johnnie Walker Afrika Mashariki, Marcus Kwikiriza, akizungumza wakati wa hafla maalum ya ‘Whisky Tasting’ iliyofanyika katika Makazi ya Balozi wa Uingereza jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment