Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Thursday 28 February 2019

WAZIRI JAFO AIPONGEZA BENKI YA DCB KWA KUJIENDESHA KWA FAIDA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo (wa pili kulia), akizungumza na waandishi wa habari wakati alipotembelea tawi la Benki ya Biashara ya DCB jijini Dodoma. Wengine kutoka kushoto ni Mkuu wa Masoko na Mawasiliano, Rahma Ngassa, Mkurugenzi Mtendaji, Godfrey Ndalahwa na Meneja wa DCB Dodoma, Joseph Njile. 
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa (katikati),akizungumza na waandishi wa habari wakati Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemeni Jafo (wa pili kilia), akitembelea tawi la benki hiyo mjini Dodoma. Wengine kutoka kushoto ni Mkuu wa Masoko na Mawasiliano, Rahma Ngassa na Meneja wa DCB Dodoma, Joseph Njile.
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Patrobas Katambi (katikati), akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa (kushoto), wakati akitembelea tawi la benki hiyo mjini Dodoma. Kulia ni Mhasibu wa tawi hilo, Daniel Makyao.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo (katikati waliokaa), akipiga picha na uongozi wa DCB pamoja na baadhi ya wateja waliokuwepo tawini hapo wakati wa ziara yake mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment