Foreign Exchange Rates

CRDB Bank Advert_070325

Wednesday, 14 November 2018

MKAPA APONGEZA UTENDAJI NA REKODI ZA BENKI YA DCB ILIYOZINDUA RASMI UUZAJI WA HISA ZAKE


Rais Mstaafu, Benjamin Willam Mkapa ameipongeza Benki ya Biashara ya DCB kwa utendaji wake na kuwa na rekodi nzuri. Ametoa pongezi hizo Jumatatu wakati benki hiyo ikizindua rasmi uuazaji wa hisa zake.

No comments:

Post a Comment