MKAPA APONGEZA UTENDAJI NA REKODI ZA BENKI YA DCB ILIYOZINDUA RASMI UUZAJI WA HISA ZAKE
Rais Mstaafu, Benjamin Willam Mkapa ameipongeza Benki ya Biashara ya DCB kwa utendaji wake na kuwa na rekodi nzuri. Ametoa pongezi hizo Jumatatu wakati benki hiyo ikizindua rasmi uuazaji wa hisa zake.
No comments:
Post a Comment