Foreign Exchange Rates

CRDB Bank Advert_070325

Selcom Pesa Advert_110225

Selcom Pesa Advert_110225

Standard Chartered Advert_300125

Standard Chartered Advert_300125

Grooveback Advert_210725

Grooveback Advert_210725

Friday, 12 January 2018

BALOZI DKT. ABDALLAH POSSI AKABIDHI HATI ZA UTAMBULISHO NCHINI AUSTRIA

Mheshimiwa Dkt. Abdallah Possi, Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani ambaye pia anaiwakilisha nchi huko Austria akiwasili katika Ikulu ya Vienna tayari kwa kujitambulisha rasmi nchini humo kwa kukabidhi hati za utambulisho. 
Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani na Austria Mheshimiwa Dkt. Abdallah Possi akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Austria Mheshimiwa Dkt. Alexander Van der Bellen kwenye hafla fupi ya kujitambulisha iliyofanyika kwenye Ikulu ya Vienna, Austria.

Rais wa Jamhuri ya Austria Mhe. Dkt. Alexander Van der Bellen akizungumza na hatimaye kupiga picha ya pamoja na Mhe. Dkt. Abdallah Possi, Balozi wa Tanzania nchini Austria mwenye makazi yake nchini Ujerumani.

No comments:

Post a Comment