| Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimpa mkono wa pongezi mbunge wa Dodoma Mjini ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ajira, Vijana, Kazi na Walemavu, Anthony Mavunde mara baada ya kufunua kitambaa kuashiria ufunguzi wa nyumba 150 za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) zilizopo Iyumbu Manispaa ya Dodoma Desemba 13, 2017. |
No comments:
Post a Comment