Foreign Exchange Rates

Selcom Pesa Advert_110225

Selcom Pesa Advert_110225

Standard Chartered Advert_300125

Standard Chartered Advert_300125

DStv Advert_090724

DStv Advert_090724

Tuesday, 6 October 2015

DKT. GHARIB BILAL ATEMBELEA BANDA LA FASTJET MAONESHO YA SWAHILI INTERNATIONAL TOURISM EXPO (S!TE)

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. Gharib Bilal akitambulishwa kwa wafanyakazi wa Fastjet na Meneja Mkuu wa fastjet Afrika Mashariki Jimmy Kibati wakati wa maonesho ya Swahili International Tourism Expo(S!TE) Jijini Dar Es Salaam hivi karibuni.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. Gharib Bilal akibadilishana mawazo na Meneja Mkuu wa fastjet Afrika Mashariki Jimmy Kibati wakati wa maonesho ya Swahili International Tourism Expo(S!TE) Jijini Dar Es Salaam hivi karibuni.
Meneja Mkuu wa fastjet Afrika Mashariki Jimmy Kibati akimkaribisha Makamu wa Kwanza wa Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. Gharib Bilal wakati wa uzinduzi wa maonesho ya Swahili International Tourism Expo(S!TE) Jijini Dar Es Salaam.
Meneja Mkuu wa fastjet Afrika Mashariki Jimmy Kibati akimkaribisha Makamu wa Kwanza wa Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. Gharib Bilal wakati wa uzinduzi wa maonesho ya Swahili International Tourism Expo(S!TE) Jijini Dar Es Salaam.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. Gharib Bilal akikata utepe kuzindua rasmi maonesho ya Swahili International Tourism Expo(S!TE) Jijini Dar Es Salaam hivi karibuni.
Wafanyakazi wa Shirika la ndege la fastjet wakiwa kwenye pozi.


No comments:

Post a Comment