Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Sunday 12 July 2015

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE ALIPOHUTUBIA KWA KULIVUNJA BUNGE LA KUMI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, UKUMBI WA BUNGE, DODOMA TAREHE 9 JULAI, 2015

Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Mohamed Chande Othman na ujumbe wake pamoja na maafisa wa bunge wakiingia Bungeni tayari kwa hotuba ya mwisho ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete mjini Dodoma Alhamisi Julai 9, 2015.
Marais wastaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi na Mzee Benjamin William Mkapa na Mawaziri wakuu wastaafu Dkt Salim Ahmed Salim, Jaji Joseph Sinde Warioba, Mhe. Frederick Sumaye na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama na maafisa waandamizi jeshini na serikalini wakiwa wamesimama wakati viongozi wakiingia bungeni.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein akiingia bungeni.
Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali akiingia katika ukumbi wa Bunge.
Spika Anne Makinda akimuongoza Rais Kikwete kuingia bungeni.
 Rais Kikwete akiingia bungeni huku akishangiliwa na wabunge.
Rais Kikwete akiingia bungeni.
Rais Kikwete na Spika Makinda wakielekea kuchukua nafasi zao.
Sehemu ya ukumbi wa bunge wakati Rais Kikwete akiingia.
 Waheshimiwa wabunge.
Sehemu ya maafisa waandamizi wa bunge.
Rais Kikwete akianza kuhutubia wabunge.
Sehemu ya maafisa waandamizi wa bunge.
Rais Kikwete akihutubia.
 Rais Kikwete akiendelea na hotuba yake.

 Waheshimiwa wabunge wakiwa wametulia kumsikiliza Rais Kikwete.
Sehemu ya wageni mashuhuri wakifuatilia hotuba.
Sehemu ya wabunge.
Wake wa viongozi, watoto wa Rais Kikwete na maafisa mbalimbali.
Sehemu ya Mabalozi.
 Wabunge wakifuatilia hotuba.
 Wabunge wakifuatilia hotuba.
Wabunge wakifuatilia hotuba.
Wabunge wakifuatilia hotuba.
Wabunge wakifuatilia hotuba.
Wabunge wakifuatilia hotuba.
Wabunge wakifuatilia hotuba.
Wapiga picha wakirekodi hotuba ya Rais Kikwete.
Jaji Mkuu na ujumbe wake.
Rais Kikwete akiendelea kuhutubia wabunge.
Rais Kikwete akiendelea kuhutubia wabunge.
Wabunge.
Sehemu ya maafisa waandamizi wa vikosi vya ulinzi na usalama na wageni waalikwa.
Rais wa Zanzibar Dkt. Shein, Makamu wa Rais Dkt Bilali, Naibu Spika Mhe Ndugai na Mwenyekiti wa Bunge Mhe Mussa Hassan Zungu wakifuatilia hotuba.
Rais Kikwete akiendelea kuhutubia wabunge.
Rais Kikwete akiendelea kuhutubia wabunge.
 Mmoja wa wabunge Mhe. Riziki Saidi Ruliga, akifuatilia hotuba kwa makini.
Rais Kikwete akiendelea kuhutubia wabunge.


Rais wa Zanzibar akitoka bungeni.
Jaji Mkuu akitoka bungeni.
Rais Kikwete akisindikizwa kutoka nje baada ya kuhutubia.
Rais Kikwete akipongezwa na Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi.
Picha ya pamoja.
Rais Kikwete akiongea na Marais Wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mhe Mkapa.
Rais Kikwete katika picha ya pamoja na Marais Wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mhe Mkapa.
Picha ya pamoja na marais wastaafu na viongozi wa juu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Blogu Rasmi ya Ikulu

No comments:

Post a Comment