| Mkurugezi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akifungua semina ya Wanahisa wa Benki ya CRDB katika ukumbi wa AICC jijini Arusha leo. |
| Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Martin Mmari akizungumza wakati wa semina ya Wanahisa wa Benki ya CRDB. |
| Mwanahisa akiuliza swali. |
| Wajumbe wa bodi. |
| Katibu wa Benki, John Rugambo akizungumza wakati wa semina ya Wanahisa wa Benki ya CRDB. |
| Wanahisa. |
| Baadhi ya maofisa wa Benki ya CRDB wakiwa katika semina hiyo. |
| Wanahisa. |
| Wanahisa wakifuatilia semina hiyo. |
![]() |
| Mkurugenzi wa Masoko na Huduma kwa Wateja, Tully Mwambapa (kushoto) akifuatilia semina hiyo. |
| Prof. Mohamed Warsame kutoka Kampuni ya Dhow Financials akitoa mada kuhusu Ukuzaji wa Mitaji kwa Kampuni iliyoorodheshwa Soko la Hisa. |
| Washiriki wa semina hiyo. |


No comments:
Post a Comment