Foreign Exchange Rates

DStv Advert_090724

DStv Advert_090724

SBT Tanzania Advert_291123

Friday 13 February 2015

RAIS KIKWETE AZINDUA SERA YA ELIMU, AFUNGUA MAABARA SHULE YA SEKONDARI YA KATA, KIPAWA JIJINI DAR

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizindua Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 katika hafla iliyofanyika katika shule ya sekondari Majani ya Chai, Kipawa jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt. Shukuru Kawambwa, na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bwana Said Meck Sadik.

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya ufundi Dkt. Shukuru Kawambwa, Naibu Waziri wa Elimu na ufundi, Kassim Majaliwa wakiangalia jaribio la Sayansi lililokuwa likifanywa na mwanafunzi katika shule ya sekondari ya kata ya Majani ya Chai huko Kipawa jijini Dar es Salaam.Awali Rais Kikwete alizindua maabara za sayansi katika shule hiyo na baadaye alizindua Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014. (Picha na Freddy Maro).

No comments:

Post a Comment