Foreign Exchange Rates

DStv Advert_090724

DStv Advert_090724

SBT Tanzania Advert_291123

Thursday 23 October 2014

HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA SHOO YA MWISHO YA SERENGETI FIESTA JIJINI DAR

Wakati bado tungali na kumbumbu kwa jinsi shoo ya mwisho Serengeti Fiesta ilivyofungwa na bashasha za aina yake wiki iliyopita jijini Dar es Salaam, mwaka huu mambo yalikuwa tofauti sana na pongezi ziende kwa waandaaji primetime promotions na wafadhili wakuu wa tamasha hilo Serengeti Breweries kupitia kinywaji cha Serengeti Premium Lager.

Katika umati wa watu wasiopungua 50,000 wengi walihofu kutokea na matuki ya uhalifu kama wizi na ubakaji kujitokeza. Lakini mwaka huu ulinzi uliimarishwa sana, na pongezi za pekee ziwaendee waandaaji na wafadhili wa tamasha hilo kwani waweza kudhibiti matukio machache ya uhalifu na kuhakikisha kwamba mashabiki wa tamasha hilo wanashereheka kwa amani. Kuanzia katika lango kuu la kuingia tamashani kila mmoja aliweza kuona jinsi hali ilivyokuwa tofauti mwaka huu. Walinzi walikuwa kila eneo na watu waliingia getini kwa utaratibu.

Mara baada ya kuingia ndani, waliweza kushuhudia utaratibu mzuri uliowekwa kila eneo ambapo mtu angeweza kwenda kununua kinywaji bila kusukumana na yoyote. Unaponunua bia wahudumu wa Serengeti hawakuruhusu mtu aondoke na chupa bali aliwekewa bia yake katika kikombe maalumu cha plastic. Wanyawji weni walifurahia sana vinywaji vya kampuni ya bia ya Serengeti kama Tusker Lager na Lite, Serengeti Premium Lager, Guinness, Kibo Gold, Smirnoff ice na kinywaji kiliizunduliwa hivi karibuni kijulikanacho kama Jebel Coconut, Serengeti Platinum and Serengeti Platinum ndogo.

Mbali ya kuvutia vijana wengi zaidi, shoo hiyo pia ilipokelewa vizuri na viongozi wa serikali ambao nao walikuja kama mashabiki wengine tu kuwahamasisha wasanii wetu. Mh Lazaro Nyalandu waziri wa maliasiri na utalii ni kati ya viongozi maalumu walikuja kuzindia tamasha hilo. Jerry Silaa ambaye ni maya wa manisapaa ya Ilala ni miongozi mwa viongozi hao wa serikali walihudhulia katika tamasha hilo.

Mwaka huu shoo ya mwisho ya serengeti fiesta ilikuwa bora kutokea nchini na kutumbuizwa na wasanii kadhaa wa kimataifa kama T.I, davido, diamond Platnumz na Alikiba ambao walipamba kurasa za magazeti mengi nchini baada ya shoo, wasanni wengine waote kutoak nchini pia walifanya shoo nzuri.

Kadja, Mo Music, Y-tony, Makomando, Recho, Vanessa, Barnaba, Linah, Shaa, TMK Wanaume Family, Tip Top Connection, Ommy Dimpoz, Ya Moto Band ni baadhi ya wasanii walifanya vizuri katika jukwaa, kabla ya kundi la Micharazo likiongozwa na Mr. Blue came na kuwasha moto na viabo vyake kama “Baadae” na Kimya. Stamina naye hakubaki nyuma kwani walishangiliwa vilivyo na mashabiki wa mashabiki baada ya kutoa shoo nzuri. Wasanii wengine ni pamoja na :-Mwana Fa, Weusi, Ney wa Mitego na Young Killa. Killa alidhibisha ubora kwa mashabiki baada ya kupiga kibao chake kipya kikali maarufu kama “Umebadilika” pamoja na Banana Zorro waliofanya mashabiki wewa vichaa.

For more information:-
Please visit SBL’s Face book/Twitter pages and YouTube for videos

ABOUT SERENGETI BREWERIES LIMITED 
Serengeti Breweries Limited engages in the brewing, manufacturing, marketing and selling drinks made of malt, hops and barley and sorghum in Tanzania.
 Headquartered in Dar es Salaam, SBL brands include:- Serengeti Premium Lager, Serengeti Platinum, Tusker Lager, Tusker Lite, Kibo Gold, Uhuru Peak Lager, Pilsner Lager, Senator, The Kick and Guinness®.
 SBL is also the sole distributor of several international renowned spirits including Smirnoff Vodka®, Johnnie Walker®, Bailey’s Irish Cream ®, Richot®, Bond 7 Whiskey® and Gilbeys Gin®.
 Serengeti Breweries Limited is a subsidiary of East African Breweries Limited/ DIAGEO PLC.

No comments:

Post a Comment