Foreign Exchange Rates

Selcom Pesa Advert_110225

Selcom Pesa Advert_110225

Standard Chartered Advert_300125

Standard Chartered Advert_300125

DStv Advert_090724

DStv Advert_090724

Monday, 21 July 2014

NMB YAFUTURISHA DAR ES SALAAM

Baada ya kufuturisha Zanzibar, NMB yafuturisha Dar es Salaam kwa wafanyakazi wa benki, wateja na wadau muhimu wa benki. Mgeni rasmi alikua Waziri wa Fedha na Uchumi, Mh. Saada Mkuya.

Wadau wengine waliohudhuria futari hiyo ni Mkurugenzi wa NMB, Mark Wiessing, Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Mh. Sophia Mjema na Kamanda wa Polisi Kanda ya Maalum ya Dar es Salaam, CP Suleiman Kova.

Mkurugenzi wa NMB Mark Wiessing akisema machache kwa wageni waalikwa katika futari iliyoandaliwa na NMB kwa wateja na wadau mbali mbali.

Mkurugenzi wa NMB Mark Wiessing (katikati) akiongea na wageni waalikwa katika futari iliyoandaliwa na NMB.

Wageni waalikwa katika futari iliyoandaliwa na NMB kwa wateja na wadau mbalimbali.

Wageni waalikwa katika futari iliyoandaliwa na NMB kwa wateja na wadau mbalimbali.

Mkurugenzi wa NMB Mark Wiessing (kushoto) akiongea machache na mgeni rasmi Waziri wa Fedha na Uchumi Mh Saada Mkuya wakati wa futari iliyoandaliwa na NMB.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar CP Suleiman Kova (Kushoto) akiwa pamoja na wafanyakazi wa NMB katika futari iliyoandaliwa kwa ajili ya wateja na wadau mbali mbali.

Wageni waalikwa katika futari iliyoandaliwa na NMB kwa wateja na wadau mbalimbali.

Mkurugenzi wa NMB Mark Wiessing (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi Waziri wa Fedha na Uchumi Mh Saada Mkuya (kulia) pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Temeke Mh Sophia Mjema (kushoto) pamoja na wageni walikwa katika futari iliyoandaliwa na NMB.

No comments:

Post a Comment